Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 26:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 na ikiwa mtazikataa sheria zangu,+ na ikiwa nafsi zenu zitachukia maamuzi yangu ya hukumu hivi kwamba zisitende amri zangu zote, mfikie hatua ya kulivunja agano langu,+

  • Kumbukumbu la Torati 27:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 “‘Amelaaniwa yule ambaye hupotosha+ hukumu+ ya mkaaji mgeni,+ mvulana asiye na baba na mjane.’+ (Nao watu wote watajibu na kusema, ‘Amina!’)

  • Yeremia 5:28
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 28 Wamenenepa;+ wameng’aa. Pia wamejaa kabisa mambo mabaya. Hawakutetea kesi yoyote,+ hata kesi ya mvulana asiye na baba,+ ili wapate mafanikio;+ nao hawakuifuatilia hukumu ya maskini.’”

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki