Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Mambo ya Nyakati 20:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 naye akasema:+

      “Ee Yehova Mungu wa mababu zetu,+ je, wewe si Mungu mbinguni,+ na je, wewe hutawali juu ya falme zote za mataifa,+ na je, mkononi mwako hamna nguvu na uwezo, wala hakuna anayeweza kusimama imara kupingana nawe?+

  • Ayubu 9:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Tazama! Ananyakua. Ni nani anayeweza kumpinga?

      Ni nani atakayemwambia, ‘Unafanya nini?’+

  • Isaya 43:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Pia, wakati wote mimi ni Yeye yuleyule;+ na hakuna yeyote anayekomboa kutoka katika mkono wangu.+ Nitatenda,+ na ni nani anayeweza kuurudisha nyuma?”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki