12 Utajiri+ na utukufu+ hutokana na wewe, nawe unatawala+ kila kitu; na mkononi mwako mna nguvu+ na uwezo,+ na mkononi mwako mna uwezo wa kufanya kuwa na ukuu+ na kuwapa wote nguvu.+
27 Kwa maana Yehova wa majeshi mwenyewe ametoa shauri,+ na ni nani anayeweza kulivunja?+ Na mkono wake umenyooshwa, na ni nani anayeweza kuurudisha nyuma?+
15 Tazama! Mataifa ni kama tone kutoka katika ndoo; nayo yamehesabiwa kuwa kama mavumbi membamba juu ya mizani.+ Tazama! Anaviinua visiwa+ kama mavumbi membamba tu.
35 Na wakaaji wote wa dunia wanaonwa kuwa si kitu,+ naye anafanya kulingana na mapenzi yake kati ya majeshi ya mbinguni na wakaaji wa dunia.+ Wala hakuna yeyote anayeweza kuzuia mkono wake+ au anayeweza kumuuliza, ‘Umekuwa ukifanya nini?’+