Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Mambo ya Nyakati 16:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Kwa maana, kwa habari ya Yehova, macho+ yake yanaenda huku na huku duniani+ kote ili aonyeshe nguvu zake kwa ajili ya wale ambao moyo+ wao ni mkamilifu kumwelekea yeye. Umetenda kwa upumbavu+ kwa habari hii, kwa maana tangu sasa na kuendelea kutakuwa na vita juu yako.”+

  • Zaburi 18:32
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 32 Mungu wa kweli Ndiye anayenifunga sana mshipi wa nguvu,+

      Naye ataifanya njia yangu kuwa kamilifu,+

  • Zaburi 28:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  8 Yehova ni nguvu kwa watu wake,+

      Naye ni ngome ya wokovu mkuu wa mtiwa-mafuta wake.+

  • Isaya 40:29
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 29 Yeye anampa nguvu mtu aliyechoka;+ naye huzijaza nguvu kamili kwa mtu asiye na nguvu zenye msukumo.+

  • 1 Petro 4:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Kama yeyote akisema, na aseme kana kwamba ni maneno matakatifu+ ya Mungu; kama yeyote akihudumu,+ na ahudumu kama anayetegemea nguvu ambazo Mungu hutoa;+ ili katika mambo yote Mungu atukuzwe+ kupitia Yesu Kristo. Utukufu+ na nguvu ni zake milele na milele. Amina.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki