Kumbukumbu la Torati 8:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Nawe umkumbuke Yehova Mungu wako, kwa sababu yeye ndiye anayekupa nguvu za kufanyiza mali;+ ili kutimiza agano lake ambalo aliwaapia mababu zako, kama ilivyo leo hii.+ Methali 10:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Baraka ya Yehova—hiyo ndiyo hutajirisha,+ naye haongezi maumivu pamoja nayo.+ Wafilipi 4:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Naye Mungu wangu+ ataujaza kikamilifu uhitaji wenu wote+ kwa kadiri ya utajiri+ wake katika utukufu kwa njia ya Kristo Yesu.
18 Nawe umkumbuke Yehova Mungu wako, kwa sababu yeye ndiye anayekupa nguvu za kufanyiza mali;+ ili kutimiza agano lake ambalo aliwaapia mababu zako, kama ilivyo leo hii.+
19 Naye Mungu wangu+ ataujaza kikamilifu uhitaji wenu wote+ kwa kadiri ya utajiri+ wake katika utukufu kwa njia ya Kristo Yesu.