Ayubu 9:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Yeye ni mwenye hekima moyoni na mwenye nguvu katika uwezo.+Ni nani anayeweza kumwonyesha ukaidi naye atoke bila madhara?+ Zaburi 63:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Hivyo nimekuona katika mahali patakatifu,+Kwa kuona nguvu zako na utukufu wako.+ Zaburi 77:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Wewe ndiye Mungu wa kweli, unayefanya kwa njia ya ajabu.+Umezijulisha nguvu zako katikati ya vikundi vya watu.+ Nahumu 1:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Yehova si mwepesi wa hasira+ naye ni mkuu katika nguvu,+ wala hatasita kamwe kuadhibu.+ Njia yake imo katika upepo wenye kuharibu na katika dhoruba, na wingu kubwa ndilo mavumbi ya miguu yake.+ Ufunuo 19:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Baada ya mambo haya nikasikia kitu kama sauti kubwa ya umati mkubwa mbinguni.+ Walisema: “Msifuni Yah!+ Wokovu+ na utukufu na nguvu ni za Mungu wetu,+
4 Yeye ni mwenye hekima moyoni na mwenye nguvu katika uwezo.+Ni nani anayeweza kumwonyesha ukaidi naye atoke bila madhara?+
14 Wewe ndiye Mungu wa kweli, unayefanya kwa njia ya ajabu.+Umezijulisha nguvu zako katikati ya vikundi vya watu.+
3 Yehova si mwepesi wa hasira+ naye ni mkuu katika nguvu,+ wala hatasita kamwe kuadhibu.+ Njia yake imo katika upepo wenye kuharibu na katika dhoruba, na wingu kubwa ndilo mavumbi ya miguu yake.+
19 Baada ya mambo haya nikasikia kitu kama sauti kubwa ya umati mkubwa mbinguni.+ Walisema: “Msifuni Yah!+ Wokovu+ na utukufu na nguvu ni za Mungu wetu,+