35 Na wakaaji wote wa dunia wanaonwa kuwa si kitu,+ naye anafanya kulingana na mapenzi yake kati ya majeshi ya mbinguni na wakaaji wa dunia.+ Wala hakuna yeyote anayeweza kuzuia mkono wake+ au anayeweza kumuuliza, ‘Umekuwa ukifanya nini?’+
20 Basi, Ee mwanadamu,+ kwa kweli wewe ni nani ndipo uthubutu kumjibu Mungu?+ Je, kitu kilichofinyangwa kitamwambia yeye aliyekifinyanga, “Kwa nini ulinifanya mimi hivi?”+