Ayubu 9:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Tazama! Ananyakua. Ni nani anayeweza kumpinga?Ni nani atakayemwambia, ‘Unafanya nini?’+ Isaya 14:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 Kwa maana Yehova wa majeshi mwenyewe ametoa shauri,+ na ni nani anayeweza kulivunja?+ Na mkono wake umenyooshwa, na ni nani anayeweza kuurudisha nyuma?+
27 Kwa maana Yehova wa majeshi mwenyewe ametoa shauri,+ na ni nani anayeweza kulivunja?+ Na mkono wake umenyooshwa, na ni nani anayeweza kuurudisha nyuma?+