Hesabu 25:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Kwa hiyo Israeli akajishikamanisha na Baali wa Peori;+ nayo hasira ya Yehova ikaanza kuwaka juu ya Israeli.+ Waamuzi 2:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Hivyo wakamwacha Yehova, wakaanza kutumikia Baali na sanamu za Ashtorethi.+ 2 Mambo ya Nyakati 28:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Bali alitembea katika njia za wafalme wa Israeli,+ na hata akatengeneza sanamu za kuyeyushwa+ za Mabaali.+ Yeremia 11:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 “Na Yehova wa majeshi, Mpandaji wako,+ ametangaza msiba juu yako kwa sababu ya ubaya wa nyumba ya Israeli+ na nyumba ya Yuda ambao wametenda kwa upande wao ili kunitia uchungu kwa kumfukizia Baali moshi wa dhabihu.”+
3 Kwa hiyo Israeli akajishikamanisha na Baali wa Peori;+ nayo hasira ya Yehova ikaanza kuwaka juu ya Israeli.+
2 Bali alitembea katika njia za wafalme wa Israeli,+ na hata akatengeneza sanamu za kuyeyushwa+ za Mabaali.+
17 “Na Yehova wa majeshi, Mpandaji wako,+ ametangaza msiba juu yako kwa sababu ya ubaya wa nyumba ya Israeli+ na nyumba ya Yuda ambao wametenda kwa upande wao ili kunitia uchungu kwa kumfukizia Baali moshi wa dhabihu.”+