Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Hesabu 25:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Kwa hiyo Israeli akajishikamanisha na Baali wa Peori;+ nayo hasira ya Yehova ikaanza kuwaka juu ya Israeli.+

  • Waamuzi 2:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Hivyo wakamwacha Yehova, wakaanza kutumikia Baali na sanamu za Ashtorethi.+

  • 2 Mambo ya Nyakati 28:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Bali alitembea katika njia za wafalme wa Israeli,+ na hata akatengeneza sanamu za kuyeyushwa+ za Mabaali.+

  • Yeremia 11:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 “Na Yehova wa majeshi, Mpandaji wako,+ ametangaza msiba juu yako kwa sababu ya ubaya wa nyumba ya Israeli+ na nyumba ya Yuda ambao wametenda kwa upande wao ili kunitia uchungu kwa kumfukizia Baali moshi wa dhabihu.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki