2 Naye akalilima na kuliondoa mawe na kulipanda mzabibu bora mwekundu, na kujenga mnara katikati yake.+ Na pia kulikuwa na shinikizo la divai ambalo alichimba ndani yake.+ Naye akaendelea kulitumaini lizae zabibu,+ lakini mwishowe likazaa zabibu-mwitu.+
21 Lakini mimi nilikuwa nimekupanda kama mzabibu bora mwekundu,+ wote ukiwa mbegu ya kweli. Basi ni jinsi gani umebadilika kunielekea ukawa machipukizi yaliyoharibika ya mzabibu wa kigeni?’+