Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Wafalme 23:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Naye akawaondoa kazini makuhani wa miungu ya kigeni, ambao wafalme wa Yuda walikuwa wameweka ili wapate kufukiza moshi wa dhabihu katika mahali pa juu katika majiji ya Yuda na ujirani wa Yerusalemu, na pia wale wanaofukiza moshi wa dhabihu kwa Baali,+ kwa jua na kwa mwezi na kwa makundi-nyota ya unajimu na kwa jeshi lote la mbinguni.+

  • Hosea 10:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Wakaaji wa Samaria wataogopa kwa sababu ya sanamu ya ndama ya Beth-aveni;+ kwa maana watu wake wataiombolezea, na vilevile makuhani wake wa miungu ya kigeni waliokuwa wakishangilia juu yake, kwa sababu ya utukufu wake, kwa maana itakuwa imeenda uhamishoni mbali nayo.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki