3 Nawe utaliambia, ‘Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova amesema hivi: “Mimi hapa niko dhidi yako, Ee eneo lenye milima la Seiri,+ nami nitaunyoosha mkono wangu juu yako+ na kukufanya uwe mahame, naam, kuwa ukiwa.+
4 “Nami nitaunyoosha mkono wangu juu ya Yuda na wakaaji wote wa Yerusalemu,+ nami nitakatilia mbali mabaki ya Baali kutoka mahali hapa,+ jina la makuhani wa miungu ya kigeni pamoja na makuhani,+