2 “‘Kwa hiyo, tazama! siku zinakuja,’ asema Yehova, ‘nami nitafanya king’ora cha vita+ kisikiwe juu ya Raba+ la wana wa Amoni; na hakika yeye atakuwa kilima cha mahame yenye ukiwa,+ na miji yake ya kandokando+ itawashwa katika moto.’+
“‘Na Israeli atawamiliki wale wanaommiliki,’+ Yehova amesema.