17 Ndiyo sababu Yehova hatawashangilia vijana wao,
Naye hatawaonyesha rehema mayatima wao na wajane wao;
Kwa sababu wote ni waasi imani na watenda maovu+
Na kila kinywa kinasema kwa upumbavu.
Kwa sababu ya hayo yote, hasira yake haijapoa,
Lakini mkono wake bado umenyooshwa ili kupiga.+