Yeremia 2:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Hata wana wa Nofu+ na Tahpanesi+ waliendelea kujilisha juu yako kwenye utosi wa kichwa.+ Ezekieli 30:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Na katika Tehafnehesi+ siku itakuwa na giza, nitakapovunja huko nira za Misri.+ Na katika yeye fahari ya nguvu zake kwa kweli itakomeshwa.+ Na kwa habari yake, mawingu yatamfunika,+ na miji yake mwenyewe ya kandokando itaenda utekwani.+
18 Na katika Tehafnehesi+ siku itakuwa na giza, nitakapovunja huko nira za Misri.+ Na katika yeye fahari ya nguvu zake kwa kweli itakomeshwa.+ Na kwa habari yake, mawingu yatamfunika,+ na miji yake mwenyewe ya kandokando itaenda utekwani.+