14 “Lihubiri jambo hilo katika Misri, na mlitangaze kule Migdoli,+ na mlitangaze kule Nofu+ na Tahpanhesi.+ Semeni, ‘Simama, pia ujifanyie matayarisho,+ kwa maana hakika upanga utakula kukuzunguka pande zote.+
18 Na katika Tehafnehesi+ siku itakuwa na giza, nitakapovunja huko nira za Misri.+ Na katika yeye fahari ya nguvu zake kwa kweli itakomeshwa.+ Na kwa habari yake, mawingu yatamfunika,+ na miji yake mwenyewe ya kandokando itaenda utekwani.+