44Neno lililomjia Yeremia kwa ajili ya Wayahudi wote waliokuwa wakikaa katika nchi ya Misri,+ wale waliokuwa wakikaa kule Migdoli+ na Tahpanhesi+ na Nofu+ na katika nchi ya Pathrosi,+ likisema:
18 Na katika Tehafnehesi+ siku itakuwa na giza, nitakapovunja huko nira za Misri.+ Na katika yeye fahari ya nguvu zake kwa kweli itakomeshwa.+ Na kwa habari yake, mawingu yatamfunika,+ na miji yake mwenyewe ya kandokando itaenda utekwani.+