Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 19:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Wakuu wa Soani wametenda kwa upumbavu,+ wakuu wa Nofu+ wamedanganywa, wakuu wa makabila+ yake wamesababisha Misri iende huku na huku.

  • Yeremia 44:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 44 Neno lililomjia Yeremia kwa ajili ya Wayahudi wote waliokuwa wakikaa katika nchi ya Misri,+ wale waliokuwa wakikaa kule Migdoli+ na Tahpanhesi+ na Nofu+ na katika nchi ya Pathrosi,+ likisema:

  • Yeremia 46:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Jifanyie mzigo kwa ajili ya uhamisho,+ Ee mwanamke mkaaji, binti+ ya Misri. Kwa maana Nofu+ litakuwa kitu cha kushangaza na kwa kweli litawashwa moto, hivi kwamba lisiwe na mkaaji.+

  • Ezekieli 30:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 “Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova amesema hivi, ‘Nitaangamiza pia sanamu za mavi+ na kufanya miungu isiyo na thamani ikome katika Nofu,+ na hakutakuwa tena na mkuu kutoka katika nchi ya Misri; nami hakika nitatia hofu katika nchi ya Misri.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki