44Neno lililomjia Yeremia kwa ajili ya Wayahudi wote waliokuwa wakikaa katika nchi ya Misri,+ wale waliokuwa wakikaa kule Migdoli+ na Tahpanhesi+ na Nofu+ na katika nchi ya Pathrosi,+ likisema:
19 Jifanyie mzigo kwa ajili ya uhamisho,+ Ee mwanamke mkaaji, binti+ ya Misri. Kwa maana Nofu+ litakuwa kitu cha kushangaza na kwa kweli litawashwa moto, hivi kwamba lisiwe na mkaaji.+
13 “Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova amesema hivi, ‘Nitaangamiza pia sanamu za mavi+ na kufanya miungu isiyo na thamani ikome katika Nofu,+ na hakutakuwa tena na mkuu kutoka katika nchi ya Misri; nami hakika nitatia hofu katika nchi ya Misri.+