15 “ ‘Nitakapoifanya nchi ya Misri iwe mahame yenye ukiwa nayo nchi ifanywe ukiwa, isiwe na vitu vinavyoijaza,+ nitakapowaua wakaaji wote waliomo ndani yake, pia watalazimika kujua kwamba mimi ni Yehova.+
5 “Ole wao wanaokaa katika eneo la bahari, taifa la Wakerethi!+ Neno la Yehova liko kinyume chenu. Ee Kanaani, nchi ya Wafilisti, nitakuangamiza wewe pia, hivi kwamba hakutakuwa na mkaaji.+