5 Na Wamisri hakika watajua kwamba mimi ni Yehova wakati ambapo nitaunyoosha mkono wangu juu ya Misri,+ nami kwa kweli nitawatoa wana wa Israeli kutoka katikati yao.”+
4 Kwa hiyo, kwa kweli nitauacha moyo wa Farao uwe mkaidi,+ naye hakika atawafuatilia wao nami nitajipatia utukufu kupitia kwa Farao na majeshi yake yote;+ nao Wamisri watajua hakika kwamba mimi ni Yehova.”+ Basi wakafanya vivyo hivyo.