Waamuzi 20:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Kwa hiyo wakuu wa watu wote na makabila yote ya Israeli wakasimama katika kutaniko la watu wa Mungu wa kweli,+ wanaume mia nne elfu wanaoenda kwa miguu, wenye kutumia upanga.+ 1 Samweli 14:38 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 38 Basi Sauli akasema: “Njooni hapa karibu,+ enyi wakuu wote wa watu,+ mhakikishe na mwone ni jinsi gani dhambi hii imetokea leo.
2 Kwa hiyo wakuu wa watu wote na makabila yote ya Israeli wakasimama katika kutaniko la watu wa Mungu wa kweli,+ wanaume mia nne elfu wanaoenda kwa miguu, wenye kutumia upanga.+
38 Basi Sauli akasema: “Njooni hapa karibu,+ enyi wakuu wote wa watu,+ mhakikishe na mwone ni jinsi gani dhambi hii imetokea leo.