Yeremia 43:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Na mwishowe wakaingia katika nchi ya Misri,+ kwa maana hawakuitii sauti ya Yehova; nao mwishowe wakafika mpaka Tahpanhesi.+ Ezekieli 30:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Na katika Tehafnehesi+ siku itakuwa na giza, nitakapovunja huko nira za Misri.+ Na katika yeye fahari ya nguvu zake kwa kweli itakomeshwa.+ Na kwa habari yake, mawingu yatamfunika,+ na miji yake mwenyewe ya kandokando itaenda utekwani.+
7 Na mwishowe wakaingia katika nchi ya Misri,+ kwa maana hawakuitii sauti ya Yehova; nao mwishowe wakafika mpaka Tahpanhesi.+
18 Na katika Tehafnehesi+ siku itakuwa na giza, nitakapovunja huko nira za Misri.+ Na katika yeye fahari ya nguvu zake kwa kweli itakomeshwa.+ Na kwa habari yake, mawingu yatamfunika,+ na miji yake mwenyewe ya kandokando itaenda utekwani.+