Ezekieli 30:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 “Yehova amesema hivi, ‘Wanaounga mkono Misri lazima waanguke pia, na fahari ya nguvu zake lazima ishuke chini.’+ “ ‘Kutoka Migdoli+ mpaka Sewene+ wataanguka ndani yake kwa upanga,’ asema Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova.
6 “Yehova amesema hivi, ‘Wanaounga mkono Misri lazima waanguke pia, na fahari ya nguvu zake lazima ishuke chini.’+ “ ‘Kutoka Migdoli+ mpaka Sewene+ wataanguka ndani yake kwa upanga,’ asema Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova.