Ufunuo 17:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Na yule mwanamke+ uliyemwona anamaanisha lile jiji kubwa lililo na ufalme juu ya wafalme wa dunia.”+ Ufunuo 18:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Naye akapaaza kilio kwa sauti yenye nguvu,+ akisema: “Ameanguka! Babiloni Mkubwa ameanguka,+ naye amekuwa makao ya roho waovu na mahali pa kuvizia pa kila pumzi+ chafu na mahali pa kuvizia pa kila ndege mchafu na mwenye kuchukiwa!+
18 Na yule mwanamke+ uliyemwona anamaanisha lile jiji kubwa lililo na ufalme juu ya wafalme wa dunia.”+
2 Naye akapaaza kilio kwa sauti yenye nguvu,+ akisema: “Ameanguka! Babiloni Mkubwa ameanguka,+ naye amekuwa makao ya roho waovu na mahali pa kuvizia pa kila pumzi+ chafu na mahali pa kuvizia pa kila ndege mchafu na mwenye kuchukiwa!+