Isaya 21:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Na, tazama, sasa, linakuja gari la vita la watu, pamoja na jozi ya farasi wa vita!”+ Naye akaanza kusema: “Ameanguka! Babiloni ameanguka,+ na sanamu zake zote za kuchongwa za miungu yake amezivunja na kuziangusha chini!”+ Yeremia 51:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Kwa ghafula Babiloni ameanguka, hivi kwamba amevunjwa.+ Pigeni mayowe juu yake.+ Chukueni zeri kwa ajili ya maumivu yake.+ Huenda akapona.” Ufunuo 18:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Na malaika mwenye nguvu akainua jiwe kama jiwe kubwa la kusagia+ na kulitupa ndani ya bahari,+ akisema: “Hivi ndivyo Babiloni lile jiji kubwa litakavyotupwa chini kwa mtupo wa kasi sana, naye hatapatikana tena.+
9 Na, tazama, sasa, linakuja gari la vita la watu, pamoja na jozi ya farasi wa vita!”+ Naye akaanza kusema: “Ameanguka! Babiloni ameanguka,+ na sanamu zake zote za kuchongwa za miungu yake amezivunja na kuziangusha chini!”+
8 Kwa ghafula Babiloni ameanguka, hivi kwamba amevunjwa.+ Pigeni mayowe juu yake.+ Chukueni zeri kwa ajili ya maumivu yake.+ Huenda akapona.”
21 Na malaika mwenye nguvu akainua jiwe kama jiwe kubwa la kusagia+ na kulitupa ndani ya bahari,+ akisema: “Hivi ndivyo Babiloni lile jiji kubwa litakavyotupwa chini kwa mtupo wa kasi sana, naye hatapatikana tena.+