Mathayo 18:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Lakini yeyote anayemkwaza mmoja wa hawa wadogo wanaoniamini, ingekuwa afadhali afungiwe shingoni jiwe la kusagia+ kama lile ambalo huzungushwa na punda na azamishwe katika bahari kuu.+
6 Lakini yeyote anayemkwaza mmoja wa hawa wadogo wanaoniamini, ingekuwa afadhali afungiwe shingoni jiwe la kusagia+ kama lile ambalo huzungushwa na punda na azamishwe katika bahari kuu.+