Yeremia 51:64 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 64 Na useme, ‘Hivi ndivyo Babiloni atakavyozama asiinuke tena kamwe kwa sababu ya msiba ambao ninaleta juu yake;+ nao hakika watajichosha.’”+ Maneno ya Yeremia yamefikia hapa. Ezekieli 26:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 “ ‘Nitakufanya kuwa vitisho vya ghafula,+ nawe hutakuwapo; nawe utatafutwa,+ lakini hutapatikana tena kamwe mpaka wakati usio na kipimo,’+ asema Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova.”
64 Na useme, ‘Hivi ndivyo Babiloni atakavyozama asiinuke tena kamwe kwa sababu ya msiba ambao ninaleta juu yake;+ nao hakika watajichosha.’”+ Maneno ya Yeremia yamefikia hapa.
21 “ ‘Nitakufanya kuwa vitisho vya ghafula,+ nawe hutakuwapo; nawe utatafutwa,+ lakini hutapatikana tena kamwe mpaka wakati usio na kipimo,’+ asema Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova.”