-
Ufunuo 18:21Tafsiri ya Ulimwengu Mpya ya Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo
-
-
21 Na malaika mwenye nguvu akainua jiwe kama jiwe kubwa la kusagia na kulivurumisha ndani ya bahari, akisema: “Hivyo kwa mtupo wa kasi sana atavurumishwa chini Babiloni lile jiji kubwa, na hatapatikana tena kamwe.
-