Zaburi 9:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Yehova anajulikana kwa hukumu ambayo ametekeleza.+ Mwovu amenaswa na utendaji wa mikono yake mwenyewe.+ Higayoni. Sela. Yeremia 9:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Nami nitafanya Yerusalemu kuwa rundo la mawe,+ mapango ya mbwa-mwitu;+ na majiji ya Yuda nitayafanya kuwa mahame yenye ukiwa, bila mkaaji.+ Yeremia 25:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Na nchi hii yote itakuwa mahali palipoharibiwa, kitu cha kushangaza, na mataifa haya yatamtumikia mfalme wa Babiloni miaka 70.”’+ Yeremia 32:43 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 43 Na hakika mashamba yatanunuliwa katika nchi hii+ ambayo ninyi mtakuwa mkisema: “Hiyo ni mahame yenye ukiwa+ yasiyo na mwanadamu wala mnyama wa kufugwa. Imetiwa mkononi mwa Wakaldayo.”’+
16 Yehova anajulikana kwa hukumu ambayo ametekeleza.+ Mwovu amenaswa na utendaji wa mikono yake mwenyewe.+ Higayoni. Sela.
11 Nami nitafanya Yerusalemu kuwa rundo la mawe,+ mapango ya mbwa-mwitu;+ na majiji ya Yuda nitayafanya kuwa mahame yenye ukiwa, bila mkaaji.+
11 Na nchi hii yote itakuwa mahali palipoharibiwa, kitu cha kushangaza, na mataifa haya yatamtumikia mfalme wa Babiloni miaka 70.”’+
43 Na hakika mashamba yatanunuliwa katika nchi hii+ ambayo ninyi mtakuwa mkisema: “Hiyo ni mahame yenye ukiwa+ yasiyo na mwanadamu wala mnyama wa kufugwa. Imetiwa mkononi mwa Wakaldayo.”’+