Zaburi 22:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Wale wote wanaoniona mimi, hunidharau;+Wanaendelea kufungua vinywa vyao wazi, wanaendelea kutikisa vichwa vyao:+ Zaburi 44:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Umetufanya kuwa neno la kimethali kati ya mataifa,+Kuwa kitu cha kutikisiwa kichwa kati ya vikundi vya mataifa.+ Mathayo 27:39 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 39 Kwa hiyo wapita-njia wakaanza kumtukana,+ wakitikisa+ vichwa vyao Marko 15:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 Na wale waliokuwa wakipitia hapo walikuwa wakimtukana,+ wakitikisa vichwa vyao na kusema: “Po! Wewe uliyetaka kuliangusha hekalu na kulijenga kwa siku tatu,+
7 Wale wote wanaoniona mimi, hunidharau;+Wanaendelea kufungua vinywa vyao wazi, wanaendelea kutikisa vichwa vyao:+
14 Umetufanya kuwa neno la kimethali kati ya mataifa,+Kuwa kitu cha kutikisiwa kichwa kati ya vikundi vya mataifa.+
29 Na wale waliokuwa wakipitia hapo walikuwa wakimtukana,+ wakitikisa vichwa vyao na kusema: “Po! Wewe uliyetaka kuliangusha hekalu na kulijenga kwa siku tatu,+