Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 22:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  7 Wale wote wanaoniona mimi, hunidharau;+

      Wanaendelea kufungua vinywa vyao wazi, wanaendelea kutikisa vichwa vyao:+

  • Zaburi 109:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 Na kwao mimi nimekuwa kitu cha kushutumiwa.+

      Wananiona—wanaanza kutikisa kichwa chao.+

  • Isaya 53:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Alidharauliwa na kuepukwa na wanadamu,+ mtu aliyekusudiwa maumivu na kuzoeana na ugonjwa.+ Na ilikuwa kana kwamba uso ulifichwa kutoka kwetu.+ Alidharauliwa, nasi tulimhesabu kuwa asiye na maana.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki