Zaburi 22:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Wale wote wanaoniona mimi, hunidharau;+Wanaendelea kufungua vinywa vyao wazi, wanaendelea kutikisa vichwa vyao:+ Mika 5:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 “Wakati huu unajikatakata,+ Ee binti uliyevamiwa; yeye ametuzingira sisi.+ Watalipiga kwa fimbo shavu la mwamuzi wa Israeli.+ Mathayo 26:67 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 67 Ndipo wakamtemea mate usoni+ na kumpiga+ ngumi. Wengine wakampiga makofi usoni,+ Yohana 6:66 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 66 Kwa sababu ya hili wengi kati ya wanafunzi wake wakaenda zao kwenye mambo yaliyo nyuma+ wakawa hawatembei tena pamoja naye.+
7 Wale wote wanaoniona mimi, hunidharau;+Wanaendelea kufungua vinywa vyao wazi, wanaendelea kutikisa vichwa vyao:+
5 “Wakati huu unajikatakata,+ Ee binti uliyevamiwa; yeye ametuzingira sisi.+ Watalipiga kwa fimbo shavu la mwamuzi wa Israeli.+
66 Kwa sababu ya hili wengi kati ya wanafunzi wake wakaenda zao kwenye mambo yaliyo nyuma+ wakawa hawatembei tena pamoja naye.+