Mathayo 11:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 na mwenye furaha ni yule asiyepata ndani yangu sababu ya kukwazika.”+ Yohana 6:60 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 60 Kwa hiyo wengi kati ya wanafunzi wake, waliposikia hilo, wakasema: “Maneno hayo yanashtua; ni nani ambaye anaweza kuyasikiliza?”+
60 Kwa hiyo wengi kati ya wanafunzi wake, waliposikia hilo, wakasema: “Maneno hayo yanashtua; ni nani ambaye anaweza kuyasikiliza?”+