Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 8:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Naye atakuwa kama mahali patakatifu;+ lakini kama jiwe la kujigonga juu yake na kama mwamba wa kujikwaa+ juu yake kwa nyumba zote mbili za Israeli, kama mtego na kama mnaso kwa wakaaji wa Yerusalemu.+

  • Marko 6:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Je, huyu si yule seremala+ mwana wa Maria+ na ndugu ya Yakobo+ na Yosefu na Yuda na Simoni?+ Na dada zake wapo hapa pamoja nasi, sivyo?” Kwa hiyo wakaanza kukwazika kwa sababu yake.+

  • Luka 7:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Na mwenye furaha ni yule ambaye hakukwazika juu yangu.”+

  • Yohana 6:61
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 61 Lakini Yesu, akijua ndani yake mwenyewe kwamba wanafunzi wake walikuwa wakinung’unika juu ya hili, akawaambia: “Je, jambo hili linawakwaza+ ninyi?

  • 1 Wakorintho 1:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 lakini sisi tunamhubiri Kristo aliyetundikwa mtini,+ kwa Wayahudi ni sababu ya kujikwaa+ lakini kwa mataifa ni upumbavu;+

  • 1 Petro 2:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 na “jiwe la kukwaza na mwamba wa kuangusha.”+ Hawa wanajikwaa kwa sababu si watiifu kwa lile neno. Kwa sababu hiyo pia waliwekwa rasmi.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki