14 Naye atakuwa kama mahali patakatifu;+ lakini kama jiwe la kujigonga juu yake na kama mwamba wa kujikwaa+ juu yake kwa nyumba zote mbili za Israeli, kama mtego na kama mnaso kwa wakaaji wa Yerusalemu.+
3 Je, huyu si yule seremala+ mwana wa Maria+ na ndugu ya Yakobo+ na Yosefu na Yuda na Simoni?+ Na dada zake wapo hapa pamoja nasi, sivyo?” Kwa hiyo wakaanza kukwazika kwa sababu yake.+