Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 8:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Naye atakuwa kama mahali patakatifu;+ lakini kama jiwe la kujigonga juu yake na kama mwamba wa kujikwaa+ juu yake kwa nyumba zote mbili za Israeli, kama mtego na kama mnaso kwa wakaaji wa Yerusalemu.+

  • Mathayo 11:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 na mwenye furaha ni yule asiyepata ndani yangu sababu ya kukwazika.”+

  • Luka 2:34
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 34 Pia, Simeoni akawabariki wao, lakini akamwambia Maria mama yake: “Tazama! Huyu amewekwa kwa ajili ya kuanguka+ na kusimama tena kwa wengi katika Israeli+ na kuwa ishara itakayosemwa vibaya+

  • Yohana 6:66
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 66 Kwa sababu ya hili wengi kati ya wanafunzi wake wakaenda zao kwenye mambo yaliyo nyuma+ wakawa hawatembei tena pamoja naye.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki