40 na kusema: “Ewe uliyetaka kuliangusha hekalu+ na kulijenga kwa siku tatu, jiokoe mwenyewe! Ikiwa wewe ni mwana wa Mungu, shuka kutoka kwenye mti wa mateso!”+
58 “Sisi tulimsikia akisema, ‘Nitaliangusha hekalu hili lililotengenezwa kwa mikono na katika siku tatu nitajenga lingine lisilotengenezwa kwa mikono.’ ”+