Mathayo 26:61 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 61 na kusema: “Mtu huyu alisema, ‘Ninaweza kuliangusha chini hekalu la Mungu na kulijenga katika siku tatu.’ ”+ Marko 15:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 Na wale waliokuwa wakipitia hapo walikuwa wakimtukana,+ wakitikisa vichwa vyao na kusema: “Po! Wewe uliyetaka kuliangusha hekalu na kulijenga kwa siku tatu,+ Yohana 2:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Yesu akajibu, akawaambia: “Libomoeni hekalu+ hili, na katika siku tatu nitalisimamisha.”
61 na kusema: “Mtu huyu alisema, ‘Ninaweza kuliangusha chini hekalu la Mungu na kulijenga katika siku tatu.’ ”+
29 Na wale waliokuwa wakipitia hapo walikuwa wakimtukana,+ wakitikisa vichwa vyao na kusema: “Po! Wewe uliyetaka kuliangusha hekalu na kulijenga kwa siku tatu,+