Yeremia 44:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Mwishowe Yehova hangeweza tena kuvumilia matendo yenu maovu na mambo yenye kuchukiza mliyokuwa mmefanya, nayo nchi yenu ikawa ukiwa, kitu cha kutisha na laana, bila mkaaji, kama ilivyo leo.+
22 Mwishowe Yehova hangeweza tena kuvumilia matendo yenu maovu na mambo yenye kuchukiza mliyokuwa mmefanya, nayo nchi yenu ikawa ukiwa, kitu cha kutisha na laana, bila mkaaji, kama ilivyo leo.+