Yeremia 44:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Mwishowe Yehova hakuweza kuvumilia kwa sababu ya ubaya wa matendo yenu, kwa sababu ya machukizo ambayo mlikuwa mmefanya,+ na hivyo nchi yenu ikawa mahali palipoharibiwa na kitu cha kushangaza na laana, bila mkaaji, kama ilivyo leo hii.+
22 Mwishowe Yehova hakuweza kuvumilia kwa sababu ya ubaya wa matendo yenu, kwa sababu ya machukizo ambayo mlikuwa mmefanya,+ na hivyo nchi yenu ikawa mahali palipoharibiwa na kitu cha kushangaza na laana, bila mkaaji, kama ilivyo leo hii.+