Zaburi 28:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Mimi huendelea kukuita wewe, Ee Yehova.+Ee Mwamba wangu, usiwe kwangu kama kiziwi,+Ili usininyamazie+Nami nisilazimike kuwa kama wale wanaoshuka chini shimoni.+ Zaburi 35:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Ee Yehova, umeona.+ Usikae kimya.+Ee Yehova, usikae mbali nami.+ Zaburi 109:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 109 Ee Mungu wa sifa yangu,+ usikae kimya.+
28 Mimi huendelea kukuita wewe, Ee Yehova.+Ee Mwamba wangu, usiwe kwangu kama kiziwi,+Ili usininyamazie+Nami nisilazimike kuwa kama wale wanaoshuka chini shimoni.+