Zaburi 11:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Misingi inapobomolewa,Yeyote aliye mwadilifu afanye nini?”+ Zaburi 75:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Dunia na wakaaji wake wote wakiyeyuka,+Ni mimi niliyezirekebisha nguzo zake.”+ Sela. Methali 29:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Mfalme hufanya nchi iendelee kusimama kupitia haki,+ lakini mtu anayekula rushwa huibomoa.+