Kutoka 24:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 nao wakamwona Mungu wa Israeli.+ Na chini ya miguu yake palikuwa na kitu kilichofanana na mawe bapa ya yakuti na kama mbingu kwa kutakata.+ Zaburi 96:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Utukufu na fahari ziko mbele zake;+Nguvu na uzuri zipo katika patakatifu pake.+ Ezekieli 10:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Nami nikaendelea kuona, na, tazama! juu ya anga+ lililokuwa juu ya kichwa cha makerubi kulikuwa na kitu kama jiwe la yakuti,+ kilichoonekana kama mfano wa kiti cha ufalme,+ kikionekana juu yao.
10 nao wakamwona Mungu wa Israeli.+ Na chini ya miguu yake palikuwa na kitu kilichofanana na mawe bapa ya yakuti na kama mbingu kwa kutakata.+
10 Nami nikaendelea kuona, na, tazama! juu ya anga+ lililokuwa juu ya kichwa cha makerubi kulikuwa na kitu kama jiwe la yakuti,+ kilichoonekana kama mfano wa kiti cha ufalme,+ kikionekana juu yao.