2 Samweli 7:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Wakati siku zako zitakapotimia,+ nawe ulale pamoja na mababu zako,+ ndipo nitakapoinua uzao wako baada yako, ambao utatoka ndani ya viuno vyako; nami kwa kweli nitaufanya imara ufalme wake.+ Zaburi 89:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 ‘Nitaufanya imara uzao wako mpaka wakati usio na kipimo,+Nami nitakijenga kiti chako cha ufalme+ kwa kizazi baada ya kizazi.’” Sela. Zaburi 132:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Yehova amemwapia Daudi,+Kwa kweli hataliacha:+“Kati ya uzao wa tumbo lako+Nitaweka juu ya kiti chako cha ufalme.+
12 Wakati siku zako zitakapotimia,+ nawe ulale pamoja na mababu zako,+ ndipo nitakapoinua uzao wako baada yako, ambao utatoka ndani ya viuno vyako; nami kwa kweli nitaufanya imara ufalme wake.+
4 ‘Nitaufanya imara uzao wako mpaka wakati usio na kipimo,+Nami nitakijenga kiti chako cha ufalme+ kwa kizazi baada ya kizazi.’” Sela.
11 Yehova amemwapia Daudi,+Kwa kweli hataliacha:+“Kati ya uzao wa tumbo lako+Nitaweka juu ya kiti chako cha ufalme.+