Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Samweli 7:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Wakati siku zako zitakapotimia,+ nawe ulale pamoja na mababu zako,+ ndipo nitakapoinua uzao wako baada yako, ambao utatoka ndani ya viuno vyako; nami kwa kweli nitaufanya imara ufalme wake.+

  • Luka 1:32
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 32 Huyo atakuwa mkuu+ naye ataitwa Mwana wa Aliye Juu Zaidi;+ na Yehova Mungu atampa kiti cha ufalme+ cha Daudi baba yake,+

  • 2 Timotheo 2:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Kumbuka kwamba Yesu Kristo alifufuliwa kutoka kwa wafu+ na alikuwa wa uzao wa Daudi,+ kulingana na habari njema ninayohubiri;+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki