Matendo 2:30 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 Kwa hiyo, kwa sababu alikuwa nabii na alijua kwamba Mungu alikuwa amemwapia kwa kiapo kwamba angemketisha mmoja kutoka kati ya uzao wa viuno vyake juu ya kiti chake cha ufalme,+ Matendo 13:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Kutoka katika uzao+ wa mwanamume huyu kulingana na ahadi yake Mungu ameletea Israeli mwokozi,+ Yesu, Waroma 1:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 kuhusu Mwana wake, aliyetokana na uzao wa Daudi+ kulingana na mwili,+
30 Kwa hiyo, kwa sababu alikuwa nabii na alijua kwamba Mungu alikuwa amemwapia kwa kiapo kwamba angemketisha mmoja kutoka kati ya uzao wa viuno vyake juu ya kiti chake cha ufalme,+
23 Kutoka katika uzao+ wa mwanamume huyu kulingana na ahadi yake Mungu ameletea Israeli mwokozi,+ Yesu,