Matendo 28:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 akiwahubiria ufalme wa Mungu na kufundisha mambo yanayohusu Bwana Yesu Kristo kwa uhuru wa kusema+ ulio mkubwa zaidi, bila kizuizi. Waroma 2:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Hili litakuwa katika siku Mungu anapohukumu kupitia Kristo Yesu+ mambo ya siri+ ya wanadamu,+ kulingana na habari njema ninayoitangaza.+
31 akiwahubiria ufalme wa Mungu na kufundisha mambo yanayohusu Bwana Yesu Kristo kwa uhuru wa kusema+ ulio mkubwa zaidi, bila kizuizi.
16 Hili litakuwa katika siku Mungu anapohukumu kupitia Kristo Yesu+ mambo ya siri+ ya wanadamu,+ kulingana na habari njema ninayoitangaza.+