Luka 8:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Kwa maana hakuna jambo lililofichwa+ ambalo halitafunuliwa, wala kitu chochote kilichofunikwa kwa uangalifu ambacho hakitajulikana kamwe na ambacho hakitakuwa wazi kamwe.+ 1 Timotheo 5:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Vivyo hivyo pia matendo mazuri huwa wazi+ mbele ya watu wote na yale ambayo ni kinyume hayawezi kuendelea kufichwa.+
17 Kwa maana hakuna jambo lililofichwa+ ambalo halitafunuliwa, wala kitu chochote kilichofunikwa kwa uangalifu ambacho hakitajulikana kamwe na ambacho hakitakuwa wazi kamwe.+
25 Vivyo hivyo pia matendo mazuri huwa wazi+ mbele ya watu wote na yale ambayo ni kinyume hayawezi kuendelea kufichwa.+