Mathayo 10:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Kwa hiyo msiwaogope; kwa maana hakuna kitu chochote kilichofunikwa ambacho hakitafunuliwa, na cha siri ambacho hakitajulikana.+ Marko 4:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Kwa maana hakuna jambo lililofichwa ila kwa kusudi la kupata kufunuliwa; hakuna lililositiriwa kwa uangalifu ila kwa kusudi la kuja kutokea wazi.+ Luka 12:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Lakini hakuna kitu kilichofunikwa kwa uangalifu ambacho hakitafunuliwa, na cha siri ambacho hakitajulikana.+ 1 Wakorintho 4:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Kwa hiyo msihukumu+ kitu chochote kabla ya wakati unaofaa, mpaka Bwana aje,+ atakayeyaleta kwenye nuru mambo ya siri yaliyo ya giza+ na pia kuyafunua mashauri ya mioyo,+ na ndipo kila mtu atakapopata sifa yake kutoka kwa Mungu.+
26 Kwa hiyo msiwaogope; kwa maana hakuna kitu chochote kilichofunikwa ambacho hakitafunuliwa, na cha siri ambacho hakitajulikana.+
22 Kwa maana hakuna jambo lililofichwa ila kwa kusudi la kupata kufunuliwa; hakuna lililositiriwa kwa uangalifu ila kwa kusudi la kuja kutokea wazi.+
2 Lakini hakuna kitu kilichofunikwa kwa uangalifu ambacho hakitafunuliwa, na cha siri ambacho hakitajulikana.+
5 Kwa hiyo msihukumu+ kitu chochote kabla ya wakati unaofaa, mpaka Bwana aje,+ atakayeyaleta kwenye nuru mambo ya siri yaliyo ya giza+ na pia kuyafunua mashauri ya mioyo,+ na ndipo kila mtu atakapopata sifa yake kutoka kwa Mungu.+