Mathayo 10:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Kwa hiyo msiwaogope; kwa maana hakuna kitu chochote kilichofunikwa ambacho hakitafunuliwa, na cha siri ambacho hakitajulikana.+ Luka 12:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Lakini hakuna kitu kilichofunikwa kwa uangalifu ambacho hakitafunuliwa, na cha siri ambacho hakitajulikana.+ Matendo 4:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Lakini sisi hatuwezi kuacha kusema juu ya mambo ambayo tumeyaona na kuyasikia.”+ 1 Timotheo 5:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Vivyo hivyo pia matendo mazuri huwa wazi+ mbele ya watu wote na yale ambayo ni kinyume hayawezi kuendelea kufichwa.+ 1 Yohana 1:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 (ndiyo, uzima ulifunuliwa,+ na sisi tumeona na tunatoa ushahidi+ na kuwapa ninyi habari juu ya uzima wa milele+ ambao ulikuwa pamoja na Baba na ukafunuliwa kwetu,)
26 Kwa hiyo msiwaogope; kwa maana hakuna kitu chochote kilichofunikwa ambacho hakitafunuliwa, na cha siri ambacho hakitajulikana.+
2 Lakini hakuna kitu kilichofunikwa kwa uangalifu ambacho hakitafunuliwa, na cha siri ambacho hakitajulikana.+
25 Vivyo hivyo pia matendo mazuri huwa wazi+ mbele ya watu wote na yale ambayo ni kinyume hayawezi kuendelea kufichwa.+
2 (ndiyo, uzima ulifunuliwa,+ na sisi tumeona na tunatoa ushahidi+ na kuwapa ninyi habari juu ya uzima wa milele+ ambao ulikuwa pamoja na Baba na ukafunuliwa kwetu,)