Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mathayo 10:26
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 Kwa hiyo msiwaogope; kwa maana hakuna kitu chochote kilichofunikwa ambacho hakitafunuliwa, na cha siri ambacho hakitajulikana.+

  • Luka 12:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Lakini hakuna kitu kilichofunikwa kwa uangalifu ambacho hakitafunuliwa, na cha siri ambacho hakitajulikana.+

  • Matendo 4:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Lakini sisi hatuwezi kuacha kusema juu ya mambo ambayo tumeyaona na kuyasikia.”+

  • 1 Timotheo 5:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 Vivyo hivyo pia matendo mazuri huwa wazi+ mbele ya watu wote na yale ambayo ni kinyume hayawezi kuendelea kufichwa.+

  • 1 Yohana 1:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 (ndiyo, uzima ulifunuliwa,+ na sisi tumeona na tunatoa ushahidi+ na kuwapa ninyi habari juu ya uzima wa milele+ ambao ulikuwa pamoja na Baba na ukafunuliwa kwetu,)

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki