Matendo 26:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Kwa kweli, mfalme ambaye ninasema naye kwa uhuru wa kusema anajua vema juu ya mambo haya; kwa maana ninasadiki kwamba hakuna hata moja kati ya mambo haya ambalo hajui, kwa maana jambo hili halijafanywa pembeni.+ Waefeso 6:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 pia kwa ajili yangu, ili nipewe uwezo wa kusema+ kwa kufungua kinywa changu, kwa uhuru wa kusema+ ili kujulisha siri takatifu ya habari njema,+
26 Kwa kweli, mfalme ambaye ninasema naye kwa uhuru wa kusema anajua vema juu ya mambo haya; kwa maana ninasadiki kwamba hakuna hata moja kati ya mambo haya ambalo hajui, kwa maana jambo hili halijafanywa pembeni.+
19 pia kwa ajili yangu, ili nipewe uwezo wa kusema+ kwa kufungua kinywa changu, kwa uhuru wa kusema+ ili kujulisha siri takatifu ya habari njema,+